Hukumu ya shabiki aliyevamia kwa Justin Bieber imetoka - teknomovies
Hukumu ya shabiki aliyevamia kwa Justin Bieber imetoka

Hukumu ya shabiki aliyevamia kwa Justin Bieber imetoka

Share This
Shabiki Mirabelli Stefania aliyevamia nyumba ya Justin Bieber amekubali kosa alilofanya na jaji kumpa hukumu wiki hii.

Mirabelli Stefania amepewa kifungocha siku nane jela na atakuwa chini ya uangalizi mkali wa polisi kwa muda wa miezi 12, hata ruhusiwa kukaribia nyumba ya Justin Bieber.
Stefania alikamatwa na polisi akijaribu kuingia kwenye nyumba ya Justin huko Bev Hills, USA wiki iliyopita.

 Usisahau Kutufollow Instagram na Twitter @Teknomovies kwa Updates mbalimbali na pia Subscribe Youtube Channel ya DM Online Tv.

Pages