Wananchi hao wameona nyumba ya rais kupitia mtandao wa kijamii wa Facebook baada ya mmoja kupost picha akiwa na rais huyo huku masofa yakionekana kuisha.
Pamoja na picha hiyo kupokewa kwa hisia tofauti, wapo waliosema kuwa rais Buhari hapendi makuu anapenda kuishi maisha ya kawaida.
No comments:
Post a Comment