Kutokea mtandao wa Hollywood Reporter umeripoti kuwa filamu ya Deadpool 2 itaachiwa wiki mbili kabla ya tarehe iliyopangwa kuachiwa. Filamu hii ilipangwa kuachiwa tarehe 1 June ila sasa itaachiwa May 18. Mabadiliko hayo yamesababisha tarehe za kuachiwa Gambit na The New Mutants kupelekwa mbele kidogo.
Kwa upande wa tovuti ya Insider wameripoti kuwa filamu hiyo ya Deadpool 2 inayosubiriwa kwa hamu imerudishwa nyuma ili kuzuia mgongano na X Men kwenye mzunguko wa Soko kwani zote zinatokea kwenye kampuni ya FOX.
Mutants sasa itaachiwa rasmi February 22 2019 badala ya April 13 mwaka huu.

Tags
# Filamu
Share This
About Unknown
Mhariri Pia Mwandishi Mkuu Katika Tovuti Hii, Usiache Kupitia Kila Siku Kwa Habari Moto Moto.
Newer Article
MFAHAMU KWA UNDANI PRODUCER S2KIZZY, KATIKA MAHOJIANO HAYA.
Older Article
FAHAMU: KANGAROO JIKE ANA SEHEMU TATU ZA UKE,ZINAFANYAJE KAZI?
Filamu Ya Saw Ilishutiwa Kwa Siku 18 Tu, Tena Bila Kufanya Hata Mazoezi Kidogo,Mafanikio Yake Sasa
Swahili MuzikJan 28, 2018Oscar 2018 : Filamu ya Shape of Water inagombea tuzo kwenye vipengele 13
AnonymousJan 27, 2018BREAKING NEWS : Hii hapa list ya wanaowania tuzo za Oscar 2018
AnonymousJan 23, 2018
Labels:
Filamu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Comment Using!!