Katika siku yake ya kuzaliwa Diddy ambaye ndio msanii wa hiphop
mwenye pesa nyingi zaidi akiwa na thamani ya dola bilioni moja
ametangaza jina lake jipya.
Diddy anasema "Leo rasmi nitaanza kuitwa Love a.k.a. Brother Love, sitaitika tena nikiitwa Puffy, Diddy, Puff Daddy au jina lingine lolote’
SOMA PIA:SHABIKI ARUSHA BRAZIA JUKWAANI WAKATI DRAKE AKIPAFOMU
No comments:
Post a Comment