Kevin Spacey anatuhumiwa na unyanyasaji wa kingono ambapo kuna kampeni maalum ya kuwafichua wote wanaowanyanyasa kingono wasanii wa kike.
Movie hiyo ya kutisha inayokwenda kwa jina la All the money in the world ilipangwa kuachiwa Dec 22 lakini kutokana na Kevin Spacey kuwa na tuhuma, wameamua kufuta ratiba yote.
Kibaya zaidi ni kwamba scene zote alizotokea Kevin zitarudiwa na mtu mwingine.
flix imeamua kufuta ratiba ya uzinduzi wa filamu kufuatia mmoja wa waigizaji katika filamu hiyo kutuhumiwa na udhalilishaji wa kingono.
No comments:
Post a Comment