ALICHOKIANDIKA PAUL OKOYE BAADA YA KUSAMBAA KWA VIDEO YA UGOMVI WAO. - teknomovies
ALICHOKIANDIKA PAUL OKOYE BAADA YA KUSAMBAA KWA VIDEO YA UGOMVI WAO.

ALICHOKIANDIKA PAUL OKOYE BAADA YA KUSAMBAA KWA VIDEO YA UGOMVI WAO.

Share This
Baada ya kusambaa kwa video kwenye mitandao ya kijamii inayowaonyesha ndugu wanaounda kundi la muziki la P Square (Peter, Paul &Jude) wakigombana kwenye ofisi ya mwanasheria wao, Paul ametweet neno kwenye Account yake ya Twitter.

Mapema Peter aliandika barua kwa mwansheria wao Festus Kenyamo (SAN) akiomba kujiengua kwenye kundi la P Square.
Baada ya video hiyo Paul aliandika kwenye ukurasa wake wa Tweeter WOW…!!!! Hatimaye ameiachia video yote


No comments:

Post a Comment

Pages