ORODHA YA MASTAR WA NIGERIA WENYE MVUTO ZAIDI. - teknomovies
ORODHA YA MASTAR WA NIGERIA WENYE MVUTO ZAIDI.

ORODHA YA MASTAR WA NIGERIA WENYE MVUTO ZAIDI.

Share This
Waigizaji wa kike kutoka Nigeria sio maarufu sana kama wale wa Hollywood, lakini ni ukweli usio na shaka kuwa waigizaji wa Nigeria nao ni wazuri. Hii hapa orodha ya waigizaji wa kike kutoka Nigeria wenye mvuto zaidi. Hii ni kwa mujibu wa mtandao wa Naija.com

1. Genevieve Nnaji. Genevieve Nnaji alianza kuigiza akiwa na umri wa miaka 8. Ameshinda Tuzo ya mwigizaji bora chipukizi Afrika mwaka 2005. Ameshiriki kwenye filamu zaidi ya 50 ikiwemo filamu ya “Stand By Me” na “Death Warrant”.


2. Omotola Jalade Ekeinde. Omotola Jalade Ekeinde huyu nae ni mrembo mwingine kutoka Nigeria. Ni mwigizaji na Mwimbaji(Mwanamuziki). Huyu demu ameplay part km mwanamke wa mtaani na Mke wa nyumbani mwenye gubu kwenye filamu nyingi.


3. Stella Damasus-Aboderin.  Stella Damasus-Aboderin alishiriki kwenye tuzo za Best Africa Movie km Best Africa Actress mwaka 2009. Ameshatokea kwenye movie zaidi ya 60 ikiwemo “Never Saying Goodbye” na Cinderella.


4. Kate Henshaw-Nuttall.  Kate Henshaw-Nuttall kwa mara ya kwanza ametokea kwenye filamu ya “When the sun sets” mwaka 1993.


5. Ini Edo. Ini Edo alianza kuigiza mwaka 2003 kwenye filamu ya  “The One I trust” na mpaka sasa ameonekana kwenye filamu zaidi ya 60.


Makala Hii Ilichapishwa katika Website ya Naij.com

No comments:

Post a Comment

Pages